EPL UPDATES : PEP GUADIOLA KOCHA BORA EPL 2020/21
OFFICIAL-Kocha Mkuu wa Klabu ya Manchester City, Pep Guadiola, ametwaa tuzo ya kocha bora wa ligi kuu nchini England (Premier League Manager of the season) kwa msimu wa 2020-21.
pep GUADIOLA ametwaa tuzo hiyo baada ya siku chache zilizopita kutwaa ubingwa wa ligi kuu England 2020/21 akiwa na Klabu ya Manchester City
Tufuatilie Kwenye mitandao ya kijamii kwa
@Faceboo page|Sega Sports
@instagram | Sega Sports
WHATSAPP +255623087983
Maoni