MSIMU MPYA WA ENGLAND PREMIER LEAGUE 2021/21 KUANZA KUTIMUA VUMBI AUGOST 4,2021


 Msimu mpya wa Ligi kuu  kuanza kutimua vumbi katika viwanja tofautitofauti vya uingereza



Na @Himidi Absalomu Sega


Msimu mpya wa ligi kuu England (Premier League) unatarajiwa kuanza kutimua vumbi mara ifikapo tu Jumamosi, Augost 08,2021 na msimu huo utamalizika haraka iwezekanavyo JUMAPILI,22, May,2022.


Ratiba ya ligi kuu England MSIMU MPYA wa 2021/22 inatarajiwa kutolewa mnamo June, 16,2021 saa 09:00 Am




Facebook|Sega Sports

Instagram|Sega Sports

Whatsapp +255623087983

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii