REUBEN DIAS MCHEZAJI BORA EPL

Mlinzi wa klabu ya Manchester City, Ruben Dias ametangazwa kuwa mchezaji bora wa msimu 2020/21 wa EPL, akiwabwaga Bruno Fernandes (Man United), Kevin De Bruyne (Man City), Jack Grealish (Aston Villa), Harry Kane (Spurs) na Mohamed Salah (Liverpool).




Like page zetu za 

Facebook|Sega Sports

Instagram|Sega Sports
 

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

LAPTOP COMPUTER BURE

NYOTA watano wa Simba kesho wanatarajiwa kuukosa mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya KMC unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa. Ni kipa namba tatu Ally Salim ambaye hayupo kwenye mpango wa Kocha Mkuu, Didier Gomes sawa na beki wa kushoto Gadiel Michael. Mwingine ni Jonas Mkude ambaye ana matatizo ya suala la nidhamu. Mbali na kiungo Mkude pia mshikaji wake Ibrahim Ajibu huyu yupo nje ya kikosi kwa kuwa anaumwa Malaria. Perfect Chikwende alikuwa kwenye majukumu ya timu ya taifa ya Zimbabwe