Official blogg kwa Habari za michezo ⚽ na burudani kutoka pande zote za dunia
Pia USIKOSE Kutufuatilia kupitia page za Facebook|Sega Sports
Instagram|Sega Sports
NYOTA watano wa Simba kesho wanatarajiwa kuukosa mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya KMC unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa. Ni kipa namba tatu Ally Salim ambaye hayupo kwenye mpango wa Kocha Mkuu, Didier Gomes sawa na beki wa kushoto Gadiel Michael. Mwingine ni Jonas Mkude ambaye ana matatizo ya suala la nidhamu. Mbali na kiungo Mkude pia mshikaji wake Ibrahim Ajibu huyu yupo nje ya kikosi kwa kuwa anaumwa Malaria. Perfect Chikwende alikuwa kwenye majukumu ya timu ya taifa ya Zimbabwe
Jiunge na chuo cha Mwanza General College ujipatie ofa kabambe ya laptop bure. Kozi zifuatazo zinatolewa hapa chuoni 1:Kozi ya kompyu 2: Kozi ya biashara 3: Kozi ya kifaransa 4: Kozi ya utalii. Na nyingine nyingi sana!!!!
🇹🇿 MWANZA GENERAL COLLEGE 🇹🇿 MATOKEO YA END OF COURSE EXAMINATION YAMETANGAZWA TAR 28 JANUARY,2024 CHAGUA JINA LA COURSE KUPATA MATOKEO YA MTIHANI YAKO 💥 INTRO.COMPUTER AND WINDOWS 💥 MS.WORD PROCESSING 💥 MS.EXCEL AND SPREEDSHEET
Maoni