Official blogg kwa Habari za michezo ⚽ na burudani kutoka pande zote za dunia
Pia USIKOSE Kutufuatilia kupitia page za Facebook|Sega Sports
Instagram|Sega Sports
MATOKEO YA LIGI KUU ENGLAND WIKENDI HII
Pata kiungo
Facebook
X
Pinterest
Barua pepe
Programu Nyingine
@Geaorges Waka
Manchester united, Arsenal wamepoteza mchezo wao huku Chelsea ikimalizi hasira ya Real madrid kwa southamptom.
Msimu mpya wa Ligi kuu kuanza kutimua vumbi katika viwanja tofautitofauti vya uingereza Na @ Himidi Absalomu Sega Msimu mpya wa ligi kuu England (Premier League) unatarajiwa kuanza kutimua vumbi mara ifikapo tu Jumamosi, Augost 08,2021 na msimu huo utamalizika haraka iwezekanavyo JUMAPILI,22, May,2022. Ratiba ya ligi kuu England MSIMU MPYA wa 2021/22 inatarajiwa kutolewa mnamo June, 16,2021 saa 09:00 Am Facebook|Sega Sports Instagram|Sega Sports Whatsapp +255623087983
GOLI BORA LA ENGLAND PREMIER LEAGUE-EPL KWA MSIMU WA 2020/21 Goli lilifungwa na mchezaji wa Klabu ya Tottenham, Erick Lamala limechaguliwa kuwa bao bora la msimu wa Epl 2020/21 Mchezaji huyo wa Tottenham, Erick Lamala alilifunga bao hilo wakati timu yake ya Tottenham ikicheza na Timu ya washika bunduki Arsenal Fc katika mwendelezo wa ligi kuu England Follow Instagram|Sega Sports Like Facebook| Sega Sports
Sega Sports express Media on line sports news ON LINE EVENT BOOKING Fill on a form to book MICT EDU VS SOB First Name Second Name YOU WILL BE PRESENT OR NOT? ..Select you response YES NO
Maoni