Official blogg kwa Habari za michezo ⚽ na burudani kutoka pande zote za dunia
Pia USIKOSE Kutufuatilia kupitia page za Facebook|Sega Sports
Instagram|Sega Sports
MATOKEO YA LIGI KUU ENGLAND WIKENDI HII
Pata kiungo
Facebook
X
Pinterest
Barua pepe
Programu Nyingine
@Geaorges Waka
Manchester united, Arsenal wamepoteza mchezo wao huku Chelsea ikimalizi hasira ya Real madrid kwa southamptom.
Jiunge na chuo cha Mwanza General College ujipatie ofa kabambe ya laptop bure. Kozi zifuatazo zinatolewa hapa chuoni 1:Kozi ya kompyu 2: Kozi ya biashara 3: Kozi ya kifaransa 4: Kozi ya utalii. Na nyingine nyingi sana!!!!
OFFICIAL - Kocha Mkuu wa Klabu ya Manchester City, Pep Guadiola, ametwaa tuzo ya kocha bora wa ligi kuu nchini England (Premier League Manager of the season) kwa msimu wa 2020-21. pep GUADIOLA ametwaa tuzo hiyo baada ya siku chache zilizopita kutwaa ubingwa wa ligi kuu England 2020/21 akiwa na Klabu ya Manchester City Tufuatilie Kwenye mitandao ya kijamii kwa @Faceboo page|Sega Sports @instagram | Sega Sports WHATSAPP +255623087983
MTENDAJI Mkuu wa bodi ya ligi Tanzania (TPLB) Almas Kasongo ameionya Yanga kuhusu kauli ya kutopeleka timu uwanjani na kusema kwamba kanuni zinataka kuishusha madaraja mawili timu itakayofanya kitendo hicho. Kwa mujibu wa ratiba ya Ligi Kuu, mechi ya kiporo ya Simba na Yanga imepangwa kuchezwa Julai 3 kwenye uwanja wa Benjamin Mkapa Dar es Salaam baada ya ile ya Mei 8 kushindikana. Mechi hiyo awali ilipangwa kuchezwa Mei 8 lakini haikufanyika baada ya kutokea sintofahamu kutokana na serikali kuagizwa isogezwe mbele kutoka saa 11 jioni mpaka saa moja usiku. Msemaji wa Yanga Hassan Bumbuli juzi alinukuliwa kwenye kurasa zake za mitandao ya kijamii kwamba hawautambui mchezo huo kwani wao walishamaliza tangu Mei 8. Kasongo alisema jana kanuni ziko wazi kuhusu timu itayoshindwa kutokea uwanjani ikiwa ni pamoja na kushushwa madaraja mawili. “Usipopeleka timu uwanjani timu husika inashuka madaraja mawili, bado sijajua msingi wa kauli ya huyo mtu ni nini, niwakumbushe viongozi wa soka kabla hu...
Maoni